Romans 9:30-31

30 aKwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani. 31 bLakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata.
Copyright information for SwhKC